Ilichapishwa
Novemba 28, 2017

Kutana na Bakar, mkulima wa kujikimu aliyegeuka wakujitolea na mhamasishaji  wa FARM STEW.

Betty Mwesigwa

Bakar ni mkulima mdogo anayeishi katika kijiji cha Naluko, wilaya ya Iganga. Alihudhuria madarasa mawili ya lishe na upishi yaliyoandaliwa na FARM STEW Uganda. Anashuhudia kwamba tangu wakati mafunzo yafanyike katika kijiji chake, hanunui tena dawa kwa ajili ya homa na kikohozi. Bakar anasimulia jinsi mapacha wake walivyokuwa wakisumbuliwa na mafua mara kwa mara na sasa kile anachofanya ni kuchanganya kitunguu saumu, limau na asali ili kuzuia maradhi. 

Bakar alihamasisha wakulima wenzake wadogo kushiriki katika mafunzo ya FARM STEW. Wenzake walimwomba awaalike wakati wowote fursa ya mafunzo itakapotokea. Bakar anamiliki bustani ya jikoni ambayo aliitengeneza kupitia kwa msaada wa mke wake baada ya mafunzo.

Yeye hujivunia jinsi  bustani yake ya jikoni inavyoweza kutoa zaidi ya mboga za kutosha kwa ajili ya familia yake na uwezo wake wa kutekeleza mahitaji kwa watoto wake na mke bila kutumia fedha nyingi. Bakar asifia mafanikio yake kwa FARM STEW katika jitihada zake za kuboresha afya na ustawi wa familia za mashambani duniani kote.

Bakar atoa wito kwa watu binafsi ambao walikosa fursa ya kushiriki katika mafunzo kushauriana naye na wakulima wengine waliopata ujuzi mbalimbali katika lishe, kilimo endelevu na usafi wa mazingira.

Bakar na mkewe Namusbya Saluwha wanastawi kupitia kilimo cha kujikimu. Kwa kuuza baadhi ya mazao ya shamba na mboga kutoka katika bustani yao ya jikoni, wameweza kuendeleza familia zao.

Saluwha, Bakar na Robert wanaangalia bustani ya familia wakati mdogo wao anaangalia kupitia katikati ya miti!

 Utakutana na Saluwha katika hatua ifuatayo!!

Shiriki
Shiriki
Iliyotumwa na 
Betty Mwesigwa
Kisa cha Naki
Uganda, Afrika
Manukuu
"Nina umri wa miaka kumi na minne (14) na nilianza hedhi mwaka huu. Siku yangu ya kwanza nilihisi aibu na nikakosa kwenda shule ... Si rahisi kupata visodo katika kijiji changu na vichache vilivyoko ni bei ghali. Visodo hivi vipya vitaweza kunisaidia nikiwa katika hedhi. Kwasababu vinaweza kutumika tena, sitakuwa na wasiwasi tena nitakapopata hedhi!"
Visodo

Uhuru kutokana na aibu

Kila siku maelfu ya wasichana wa Kiafrika huacha shule. KWA NINI?  Kwa sababu ya hedhi . Unaweza kuwasaidia wasichana hawa kuendelea na masomo yao  shuleni kwa  kuwapa visodo vinavyoosheka, chupi na kuwapa ujasiri kwa  dola kumi na tano ($15 ) kwa kila msichana  
Lengo letu ni   kuwafikia wasichana  5000 katika mwaka wa 2020!

Irene
Uganda, Afrika
Manukuu
Maisha ya Irene yatabadilishwa wakati zawadi zako zitakapoleta maji safi kwa jamii yake
Ishara ya maelezo
Kila dola  mbili ($2 )zinazopewa FARM STEW zitazidishwa kwa dola moja ($1) na Water4, hadi  dola elfu themanini na nne ($84,000).
Maji

Uhuru kutokana na Ugonjwa na kazi ngumu

Watu elfu 300 hufa kila siku kutokana na magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Zawadi yako inaweza kutoa maji safi kwa dola kumi na tano ($15) kwa kila mtu.  Maji salama sio tu huimarisha afya; bali hutoa fursa kwa ajili ya FARM STEW, kwa ushirikiano na makanisa ya mtaa  kutosheleza kiu ya kiroho ya wale walio na mahitaji.

Kisa cha Naki
Uganda, Afrika
Manukuu
"Nina umri wa miaka kumi na minne (14) na nilianza hedhi mwaka huu. Siku yangu ya kwanza nilihisi aibu na nikakosa kwenda shule ... Si rahisi kupata visodo katika kijiji changu na vichache vilivyoko ni bei ghali. Visodo hivi vipya vitaweza kunisaidia nikiwa katika hedhi. Kwasababu vinaweza kutumika tena, sitakuwa na wasiwasi tena nitakapopata hedhi!"
Visodo

Uhuru kutokana na aibu

Kila siku maelfu ya wasichana wa Kiafrika huacha shule. KWA NINI?  Kwa sababu ya hedhi . Unaweza kuwasaidia wasichana hawa kuendelea na masomo yao  shuleni kwa  kuwapa visodo vinavyoosheka, chupi na kuwapa ujasiri kwa  dola kumi na tano ($15 ) kwa kila msichana  
Lengo letu ni   kuwafikia wasichana  5000 katika mwaka wa 2020!

Irene
Uganda, Afrika
Manukuu
Maisha ya Irene yatabadilishwa wakati zawadi zako zitakapoleta maji safi kwa jamii yake
Ishara ya maelezo
Kila dola  mbili ($2 )zinazopewa FARM STEW zitazidishwa kwa dola moja ($1) na Water4, hadi  dola elfu themanini na nne ($84,000).
Maji

Uhuru kutokana na Ugonjwa na kazi ngumu

Watu elfu 300 hufa kila siku kutokana na magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Zawadi yako inaweza kutoa maji safi kwa dola kumi na tano ($15) kwa kila mtu.  Maji salama sio tu huimarisha afya; bali hutoa fursa kwa ajili ya FARM STEW, kwa ushirikiano na makanisa ya mtaa  kutosheleza kiu ya kiroho ya wale walio na mahitaji.