Ilichapishwa
Mei 28, 2020

Mizizi ya Bit, Jasho na damu

David

Sarah akawa mgonjwa sana kwamba alichukuliwa kwa Kitengo cha huduma ya afya huko Oboo, Sudan Kusini. Alipatikana na malaria na upungufu wa damu. Sara alikuwa mdhaifu sana hangeweza hata kukaa kitandani. Nilikutana naye huko na nilimshauri kuhusu usafi na chakula. Niliielekeza familia yake jinsi ya kutwanga mizizi ya beeti kwa kutumia kitu cha kupondea na kutengeza sharubati ili aweze kunywa. Nilipeana kidogo kutoka kwenye bustani yangu.

Baada ya siku mbili, Sarah alijihisi vizuri na kuweza kutembea. Mara Sarah alimsihi rafiki yake kumsaidia kusafiri ili kwenda kuona  mti wa muujiza uliomponya.  Alitembelea bustani yangu na kuomba mbegu ili aweze kupanda katika nyumba yake. Nilimruhusu Sarah kuchukua baadhi ya mizizi yangu ya beet na kumfundisha  thamani ya majani pia.

Pia nimeahidi kumpa baadhi ya mbegu mara baada ya kupona na ameandaa shamba lake kwa ajili ya kupanda.

Lakini kisha nilijifunza Sarah na familia yake, kama wengine wengi katika jamii, hawakuwa na vifaa vya shamba vya kutumia. Ilibidi FARM STEW ifanye kitu na ulifanya iwezekane. 

–––––––––––––––––––––––––––––––––

Nchini Sudan Kusini, FARM STEW inafanya kazi na familia 700. Wengi, kama Sara, hawakuwa na vifaa vya vifaa vya bustani. Ndiyo sababu tulikuuliza utusaidie kununua  vifaa vya shamba vyenye thamani ya $15 kwa kila familia kabla msimu wa kupanda mwishoni mwa Aprili kwa zawadi zako zilizoteuliwa.

Kwa hivyo kulitokea nini?

Hawajapoteza wakati kuweka vifaa katika kufanya kazi!

Kulingana na ukarimu wa wafadhili wetu na imani ya FARMSTEW katika msaada wako unaoendelea, tulinunua thamani ya $ 10,500 ya vifaa vya  Shamba na Vifaa vya Tippy-Tap kwa familia 700. Doreen, kiongozi wetu wa Mafunzo nchini Sudan Kusini anaripoti: "Hadi sasa tumenunua majembe 700, mapanga 700, reki 700, mashoka 250 na vipandikizi 250 vya kupalilia. Tunaongeza mashoka 450 na vipandikizi vya kupalilia 450 ... Pia tulinunua sabuni za vipande ili kutuma kwa familia zilizogharimu dola 700. Niliwalipa wafanyakazi wote wa Machi, Aprili, na Mei, kama ulivyoagiza." 

Zawadi zako  leo zitashughulikia gharama na kuandaa kuzifikia familia zaidi tunapotafuta  kwa mara mbili kuzifikia familia 1,400 kuanzia mwezi Julai 2020!  https://www.farmstew.org/donate

Kwa nini mzizi wa beet ulimsaidia Sarah?

Mzizi wa beet na majani yake yana madini ya chuma kwa wingi na virutubishi vidogo vingi. Pia, ni chanzo kikubwa cha nitrati,  kirutubishi ambacho husaidia kunyoosha mishipa ya damu ambayo kwa upande wake, husaidia kuhamisha damu iliyo na oksijeni katika mwili. Hiyo ina maana kuwa mzunguko bora wa damu, kufanya kila pumuo kuhesabika hata lako!

Kwa visa zaidi kutoka kwa jarida letu la wafadhili, bonyeza hapa.

Shiriki
Shiriki
Iliyotumwa na 
David
Kisa cha Naki
Uganda, Afrika
Manukuu
"Nina umri wa miaka kumi na minne (14) na nilianza hedhi mwaka huu. Siku yangu ya kwanza nilihisi aibu na nikakosa kwenda shule ... Si rahisi kupata visodo katika kijiji changu na vichache vilivyoko ni bei ghali. Visodo hivi vipya vitaweza kunisaidia nikiwa katika hedhi. Kwasababu vinaweza kutumika tena, sitakuwa na wasiwasi tena nitakapopata hedhi!"
Visodo

Uhuru kutokana na aibu

Kila siku maelfu ya wasichana wa Kiafrika huacha shule. KWA NINI?  Kwa sababu ya hedhi . Unaweza kuwasaidia wasichana hawa kuendelea na masomo yao  shuleni kwa  kuwapa visodo vinavyoosheka, chupi na kuwapa ujasiri kwa  dola kumi na tano ($15 ) kwa kila msichana  
Lengo letu ni   kuwafikia wasichana  5000 katika mwaka wa 2020!

Irene
Uganda, Afrika
Manukuu
Maisha ya Irene yatabadilishwa wakati zawadi zako zitakapoleta maji safi kwa jamii yake
Ishara ya maelezo
Kila dola  mbili ($2 )zinazopewa FARM STEW zitazidishwa kwa dola moja ($1) na Water4, hadi  dola elfu themanini na nne ($84,000).
Maji

Uhuru kutokana na Ugonjwa na kazi ngumu

Watu elfu 300 hufa kila siku kutokana na magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Zawadi yako inaweza kutoa maji safi kwa dola kumi na tano ($15) kwa kila mtu.  Maji salama sio tu huimarisha afya; bali hutoa fursa kwa ajili ya FARM STEW, kwa ushirikiano na makanisa ya mtaa  kutosheleza kiu ya kiroho ya wale walio na mahitaji.

Kisa cha Naki
Uganda, Afrika
Manukuu
"Nina umri wa miaka kumi na minne (14) na nilianza hedhi mwaka huu. Siku yangu ya kwanza nilihisi aibu na nikakosa kwenda shule ... Si rahisi kupata visodo katika kijiji changu na vichache vilivyoko ni bei ghali. Visodo hivi vipya vitaweza kunisaidia nikiwa katika hedhi. Kwasababu vinaweza kutumika tena, sitakuwa na wasiwasi tena nitakapopata hedhi!"
Visodo

Uhuru kutokana na aibu

Kila siku maelfu ya wasichana wa Kiafrika huacha shule. KWA NINI?  Kwa sababu ya hedhi . Unaweza kuwasaidia wasichana hawa kuendelea na masomo yao  shuleni kwa  kuwapa visodo vinavyoosheka, chupi na kuwapa ujasiri kwa  dola kumi na tano ($15 ) kwa kila msichana  
Lengo letu ni   kuwafikia wasichana  5000 katika mwaka wa 2020!

Irene
Uganda, Afrika
Manukuu
Maisha ya Irene yatabadilishwa wakati zawadi zako zitakapoleta maji safi kwa jamii yake
Ishara ya maelezo
Kila dola  mbili ($2 )zinazopewa FARM STEW zitazidishwa kwa dola moja ($1) na Water4, hadi  dola elfu themanini na nne ($84,000).
Maji

Uhuru kutokana na Ugonjwa na kazi ngumu

Watu elfu 300 hufa kila siku kutokana na magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Zawadi yako inaweza kutoa maji safi kwa dola kumi na tano ($15) kwa kila mtu.  Maji salama sio tu huimarisha afya; bali hutoa fursa kwa ajili ya FARM STEW, kwa ushirikiano na makanisa ya mtaa  kutosheleza kiu ya kiroho ya wale walio na mahitaji.